Jumanne, 25 Juni 2013

japo ni heshima ila inabidi muangalie

utakuta watu wamesimamaa kituoni zaidi ya LISAA na mtu anapigania ili akae kutokana na umbali wa sehemu anayo kwenda sasa kunawatu wanakaa pembeni sasa wakiona gari imesha jaa ndo wanakuja kupanda na wanaomba kukaa kwa sababu hawajisikii vizuri na hawa watu wapo hapo kituoni kila SIKU  NA KILA SIKU WANAJISIKI WAO VIBAYA TUWAPISHE Y?







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni