Elisa asingiziwa kumuua mdogo wake:
Carmina aanguka kwenye
pool nakupata maumivu makali
tumboni baada ya
hapo akakimbizwa haraka hospital
nakupelekwa moja kwa moja
odi ya wazazi
kutokana na kuanguka
anapataa uchungu mkali
sana na hatimaye kujifungua mtoto
wa kiume alioleta
furaha kwa dakika chache kwani
mtoto alizaliwa akiwa
amesha pata matatizo .
Elisa kwa furaha alionayo
akaenda kumtazama mdogo wake
kwa lengo la kumtakia afya nzuri
na akue haraka
ili waweze kucheza pamoja na
marafiki zake pia,ghafla
mtoto akaacha kupumua
huku elisa akidhani kuwa
amelala
muua na
kutaka kumpiga elisa
huku mama mlezi
wa elisa akiamua na
elisa kuondoka hospitalini hapo
huku akili kwa kumpoteza
mtoto wake .
Carmina
amshtakia elisa kwa agusto kwamba elisa
amefanikiwa kummaliza mtoto wake kwani mara ya
kwanza alimsukumiza na
kuanguka lakini hakufanikiwa
hivyo sasa hivi ameamua
kumuua kwa mikono
yake,agusto akionekana amekasirishwa na jambo
hilo na kuanza kumfikiria vibaya
elisa,na hapo ndipo agusto kuanza kujiona mwanaume asie kuwa na bahati
kwani pale alipoanza tu kuwa na
mtototo wake wa kwanza wa
kiume ghafla tu amefariki.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni